Header Ads

Header ADS

Rais wa Zambia Atoa Amri ya Kufunga mpaka wa Tanzania na Zambia


Leo tarehe 10/05/2020 Rais wa Zambia Edgar Chagwa lungu ametoa amri ya kufunga mpaka wa Zambia na Tanzania (Nakonde) na kupiga marufuku mtu yeyote pamoja na magari au treni kuingia na kutoka Mji wa nakonde.

Mji wa nakonde umepakana na mji wa tunduma ambapo ndo mpaka wa Tanzania na zambia ulipo.

Raisi Lungu amefikia maamuzi hayo baada upimaji wa Covid-19 uliofanyika juzi na kungundua watu 76 wana maambukizi ya virusi vya Corona katika mji wa Nakonde. Hiyo idadi imejumuisha wafanyakazi wa mpakani, afisa uhamiaji, wafanyakazi wa lodge na madereva wa kitanzania (18).

No comments

Powered by Blogger.