Header Ads

Header ADS

Utafiti: Usile Chakula Usiku Baada ya Saa Mbili, Mwisho Saa Kumi na Moja Jioni

Tafiti mbalimbali zimekuwa zikitoka kila siku, hivi karibuni umetoka utafiti mpya ukieleza kwamba  kuna hatari kubwa kwa mtu akila chakula kigumu usiku kwanzia saa mbili usiku.

Mtu anaweza kupata mshutuko wa moyo,shinikizo la damu ama strock.

No comments

Powered by Blogger.