Header Ads

Header ADS

Magufuli "Tunakusudia Kuviboresha Vitambulisho vya Wajasiriamali kwa Kuviongezea Picha"

 


 “Katika miaka mitano ijayo tunakusudia kuviboresha vitambulisho vya Wajasiriamali kwa kuviongezea picha ili Wafanyabiashara wadogo watambulike na kuwawezesha kupata mikopo Bank, lengo ni kufanya wakue kibiashara'' Rais MAGUFULI Akiwa Bungeni



No comments

Powered by Blogger.