Header Ads

Header ADS

Mwana FA Achukua Fomu ya Kugombea Ubunge



Baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumpitisha kuwa Mgombea Ubunge, msanii Hamisi Mwijuma maarufu kama @Mwanafa jana amechukua fomu ya kugombea Ubunge kwenye Jimbo la Muheza mkoani Tanga huku akisindikizwa na mamia ya wakazi wa mji huo.

No comments

Powered by Blogger.