Header Ads

Header ADS

Ujumbe wa STEVE Nyerere Baada ya B Dozen Kuhamia EFM "Adamu Mchomvu Akija Mimi Naondoka Siwezi Kaa Nae"



Ameandika Haya Steve Nyerere:

"Kusimama kuna mambo mengi sana na kama ukiamua kusimama basi simama kweli na utaona faida yake badaye, Wengi wetu hasa vijana wanapenda kukaa Sehemu 1 wanasahau kusimama na kuangalia mbele, Maana mafanikio yanatabia ya kuangalia nani ana Bidii sio Mazoea, Wengi wao wanaishi kwa Mazoea hata kama Amna kitu wao wapo Tu, Na ukiwauliza wana ile kauli mambo yatakaa sawa, Wanasahau Muda Umri Vinaenda kasi sana, Karibu @efmtanzania Nimekaa kwa Muda mchache sana Nafurahi maisha ya hapa, Umechagua sehemu sahihi sana Mdogo wangu, Naamini una kipaji kikubwa sana na unaweza kusaidia vijana wenzako kupitia kipaji chako, Nakujua na najua Umeamua kusimama wewe ni Mwanaume wa shoka, Namuangalia uyo jirani yako yeye ameamua kukaaa Tu hahahahahahahahahahahq Karibu broooooo najua wangine nao wapo njiani au kwenye foleni mala daaaaa Mchovu uyooooooo na anavo nisumbua akiniona daaaa ila akija @efmtanzania @adamchomvu Mimi naondoka maana siwezi kukaaaa nae kabisa naweza nikapata mada buleeee, B nitafute mchana dola 5 inakuhusu" STEVENE NYERERE

No comments

Powered by Blogger.