Header Ads

Header ADS

Mbowe Avamiwa, Ajeruhiwa Vibaya



Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni (KUB), Freeman Mbowe ameshambuliwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana wakati akirejea nyumbani kwake Areaa D jijijini Dodoma.

Chadema imethibitisha na kusema amekimbizwa hospitali na anapatiwa matibabu.




No comments

Powered by Blogger.