Majibu ya Roma Mkatoliki Juu ya Kwanini Haandamani wala Kukemea Unyanyasaji wa Mtu Mweusi Marekani
Nukuu: "mtangazaji kanipgia simu kuniuliza, Roma kwanini hatukuoni Ukiandamana au Ukikekemea Mtandaoni yanayoendelea Marekani Kama wafanyavyo wasanii wenzio was bongo?(Black lives matter).
Nikamjibu👉
Ninapokemea ya Tanzania siwaonagi Hao wasanii wakikemea Kama Mimi. So ni zamu yao now. KakataSimu, Y?"
Mimi: Roma ametoa majibu mazuri yenye swali chikonozi. Kwa asilimia kubwa inawezekana Roma ametumia lugha ya mficho na inawezekana kabisa hakuna mtangazaji aliyempigia simu ila kwa kuwa yeye n msanii na ana uwezo wa kutumia fasihi kufikisha ujumbe kwa hadhira Basi ujumbe umefika.
Je, Ni kweli wakati Roma anakemea ya Tanzania huwa wasanii wengine hawakemei?
No comments