Header Ads

Header ADS

Wagonjwa Wa Corona Nchini Kenya Wafika 672



Idadi ya wagonjwa wa corona nchini Kenya imeongezeka hadi 672 baada ya wagonjwa wapya 23 kukutwa na virusi hivyo katika kipindi cha saa 24, huku idadi ya waliopona virusi ikifika 239 baada ya wagonjwa wengine 32 kupona virusi hivyo

No comments

Powered by Blogger.