Header Ads

Header ADS

Lemutuz Afika Pabaya Sakata la Haji Manara na Mo Dewji..."Hivi huko Simba hakuna mtu wa kumshauri"


Reposted from @lemutuz_superbrand LE SUPERBRAND: ZE AKILI ZANGU ZA USIKU LIVE: I AM SPEECH LESS Hivi huko Simba hakuna mtu wa kumshauri huyu SLAVE MASTER? ....Jana nilisema na kuna MLIOMTETEA SANA HUYU SLAVE MASTER wenu ....HAYA NDIO NILIYOKUWA NAYASEMA NI AIBU! ......haya mambo ni AIBU kwa Super Bilioneaz kushuka this low .....NIMEAMUA KWAMBA NINAWEZA KUIPENDA SIMBA BILA KWENDA MPIRANI WALA KUJIHUSISHA NA VIONGOZI WAKE WA AINA HII.....Kuna Viongozi wa Bodi ya Simba TUNAHESHIMIANA SANA NITAENDELEA HIVYO lakini huyu SLAVE MASTER NA CEO wake I am done SITAJIHUSISHA NAO TENA ....Ninajua kwamba I am no body lakini ni muhimu kuwa na MSIMAMO KATIKA MAISHA! au
nibaki na my AMERICAN SPIRIT! - @lemutuz_superbrand


No comments

Powered by Blogger.