Header Ads

Header ADS

Waziri mkuu wa Haiti kujiuzulu




Afisa mmoja wa serikali ya Haiti amesema Jumatatu kwamba waziri mkuu wa muda, Claude Joseph ambaye amekuwa akiendesha taifa tangu kuuwawa kwa rais Jovenel Moise atajiuzulu ili kutoa nafasi kwa mtu aliyekuwa ameidhimishwa na na kiongozi huyo kabla ya kifo chake.


No comments

Powered by Blogger.