Mrembo Ahukumiwa Jela Siku 14 Kwa Kupost Picha Hii Facebook
Mahakama moja nchini India š®š³ imeamrisha mwanaharakati wa kihindi bi Rehana Fathima kukaa rumande siku 14 kwa kuchapisha picha hii ☝šækwenye mtandao wa Facebook.
Polisi wanasema picha hii ni ya ”utupu”.
Amewekwa rumande kwa siku 14 kuruhusu polisi wakamilishe uchunguzi.
Je picha hii ya utupu?
No comments