Leo ni Leo..Kikosi cha Maangamizi cha Yanga Dhidi ya Simba kwa Mkapa Hichi Hapa
YANGA inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi inatarajiwa kumenyana na Simba leo Uwanja wa Mkapa majira ya saa 11:00.
Hiki hapa kikosi cha Yanga kinachotarajiwa kuanza leo dhidi ya Simba:-
Farouk Shikalo
Abdalah Shaibu
Adeyum Saleh
Kibwana Shomari
Bakari Mwamnyeto
Kibwana Shomari
Fei Toto
Deus Kaseke
Yacouba Songne
Said Ntibanzokiza
Tuisila Kisinda
No comments