Header Ads

Header ADS

Kutaumana Leo..Hiki hapa Kikosi cha Mnyama Simba Dhidi ya Yanga Leo

 


 LEO Julai 3, majira ya saa 11:00 kunatarajiwa kuwa na mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba v Yanga ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.

Huu ni mchezo wa ligi ambapo Simba ikiwa chini ya Kocha Mkuu, Didier Gomes imeweka wazi kwamba inahitaji pointi tatu muhimu

Hiki hapa kikosi cha Simba kinachotarajiwa kuanza leo mbele ya Yanga namna hii:

Aishi Manula

Shomari Kapombe

Joash Onyango

Pascal Wawa

Mohamed Hussein

Luis Miquisson

Taddeo Lwanga

Mzamiru Yassin

Clatous Chama

Chris Mugalu

John Bocco



No comments

Powered by Blogger.