Header Ads

Header ADS

Jibu la Ali Kiba Baada ya Kuulizwa Kama Ataongeza Wasanii Wengine Kings Music


Hili ndio jibu la @officialalikiba baada ya kuulizwa kuhusu mpango wa kuongeza wasanii kwenye label ya King's Music mara baada ya kuondoka wasanii wawili; Killy na Cheed.

"Sio kila mtu anakuja King's, hatutafuti na hatuhitaji. Tukikupata tutakuchukua. Tukiona unafaa tutakuchua." @officialalikiba



No comments

Powered by Blogger.