Header Ads

Header ADS

Je Rolls Royce ya Diamond ni Fake Kweli?


 

Kuna sintofahamu ambazo zinaendelea mitandaoni kuhusiana na Gari mpya ya msanii Diamond Platnumz Rolls Royce CULLINAN black badge 2021.


1.GARI NI FAKE

kigezo wanachotumia watu wenye chuki kuhusu kusema Kwamba gari ni fake ni hyo Logo inayokaa hapo Juu ya Bonet Eti Kwamba Rolls Royce Original Logo yake Haijakaa muundo wa hivo sasa hapo Juu pichani ni Page Rasmi ya kampuni hiyo ambapo wamepost Logo Kama hiyo ambyo watu wanadai kuwa ni fake,kwahyo kumbe hakuna ukweli wowote juu ya kusema gari ni fake.

Nafasi za Ajira Serikalini Bonyeza HAPA

Nafasi za Scholarships Bonyeza HAPA

Nafasi za Internships Bonyeza HAPA

2.GARI NI USED (IMESHATUMIKA)

Picha ya mkono wa kulia huyo ni Meneja Sallam Mendez wa msanii Diamond akiwa katika moja ya showroom za Rolls Royce na hilo aliloegamia Ndio Gari iliyonunuliwa na msanii Diamond Platnumz. So DON'T HATE BE INSPIRED!



No comments

Powered by Blogger.