Header Ads

Header ADS

Hiki hapa kikosi cha kwanza cha Yanga baada ya kukamilisha usajili wa Fiston

 


BAADA ya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Cedric Kaze kukamilisha dili la Fiston Abdulazack kwenye usajili wa dirisha dogo inakuwa imesajili jumla ya nyota watatu.

Nyota mwingine ambaye amesajiliwa ni pamoja na Saido Ntbanzokiza naye ni raia wa Burundi pamoja na mzawa Dikson Job.

SHINDA ZAWADI YA SIMU KWA KUDOWNLOAD APPP YA UDAKU SPECIAL HAPA


Huenda kikosi cha kwanza  kitakuwa namna hii:-


Mnata Metacha 


Kibwana Shomari 


Lamine Moro 


Bakari Mwamnyeto 


Yassin Mustapha 


Tonombe Mukoko 


Feisal Salum 


Saido Ntibanzokiza 


Tuisila Kisinda 


Yacouba Songne 


Fiston Abdulazack 



No comments

Powered by Blogger.