Header Ads

Header ADS

Deus Kaseke amaliza ubishi Chamazi. Yanga yaondoka na pointi zote tatu





Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara imeendelea leo kwa mchezo kati ya Azam FC dhidi ya Yanga kwenye dimba la Chamanzi jijini Dar, ambapo Yanga imeibuka na ushindi wa goli 1-0.
FT: Azam FC 0-1 Yanga SC (Kaseke 48’) 




No comments

Powered by Blogger.