Header Ads

Header ADS

PICHA: Freeman Mbowe Akiwa Amelazwa Baada Ya Kushambuliwa na Kuvunjwa Mguu Dodoma Leo




Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe akiwa amelazwa katika hospitali ya DCMCT Ntyuka mkoani Dodoma kwa matibabu baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana na kuvunjwa mguu.




No comments

Powered by Blogger.