Header Ads

Header ADS

Rais Trump Akatisha Mkutano na Waandishi Baada ya Kukerwa na Swali la Mwandishi wa Habari

Rais Trump amekatisha mkutano na waandishi baada ya kukerwa na swali la Mwandishi wa CBS Weijia Jiang aliyemuhoji ni kwanini amekuwa anashindana kwa kujigamba kuwa USA inaongoza kupima corona kuliko wote wakati wana vifo zaidi ya Elfu 81.

Trump alimjibu hapaswi kuulizwa kwanini Wamarekani wengi wanazidi kupoteza maisha wakati sehemu nyingi duniani watu wanapoteza maisha hivyo sio swala la ajabu huku akisisitiza kuwa swali huli wanapaswa kuulizwa China kwa kuwa wao ndio wameleta Corona na sio Yeye.

Baada ya kuona mwandishi anahitaji kujibiwa swali lake Trump akaona isiwe tabu akaamua kuondoka zake.

Trump aliulizwa kuwa  “Why is this a global competition to you if every day Americans are still losing their lives and we’re still seeing more cases?”

No comments

Powered by Blogger.