Header Ads

Header ADS

Wema Sepetu Aachiwa Huru Na Kisha Kukamatwa Tena

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru msanii wa filamu nchini, Wema Sepetu, lakini dakika chache baadaye askari magereza walimkamata tena.

Malkia huyo wa filamu anakabiliwa na kesi ya kusambaza picha zinazodaiwa kuwa za ngono mtandaoni.

No comments

Powered by Blogger.