Header Ads

Header ADS

Rais Magufuli Akutana Na Kufanya Mazungumzo Na Naibu Waziri Wa Mambo Ya Nje Wa Urusi Mikhail Bogdanov Ikulu Jijini Dar Es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Mikhail Bogdanov kabla ya kuanza mazungumzo Ikulu jijini Dar es Salaam


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Mikhail Bogdanov ambaye aliambatana na ujumbe wake Ikulu jijini Dar es Salaam. Picha na IKULU

No comments

Powered by Blogger.