Header Ads

Header ADS

Amnesty International yashinikiza serikali ya Tanzania kumtendea haki Mbowe



Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty Jumatano limesema kwamba mamlaka za Tanzania lazima zitoe mara moja ushahidi wa kuthibitisha mashtaka dhidi ya kiongozi wa upinzani Freeman Mbowe, au wamwachilie huru, ikiwa siku moja tu kabla ya kufikishwa kwenye mahakama ya Dar es Salaam.


No comments

Powered by Blogger.